Mhe. Balozi Mhandisi Aisha S. Amour atembelea kiwanda cha Al Homaizi Food Industry

  • Mhe. Balozi Mhandisi Aisha S. Amour akiwa katika maabara ya kiwanda cha Al Homaizi Food, akipewa maelezo namna ya upimaji ubora wa nafaka na mazao mchanganyiko kabla ya kuchakata na baada.